• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

VIJANA FASTAFASTA WANUFAIKA MKOPO WA BAJAJI

Tarehe ya kuwekwa: April 25th, 2022

Mkuu wa Wiaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo amekabidhi bajaji mbili zenye thamani ya shilingi milioni 17 kwa vijana watano wa kikundi cha FastaFasta ikiwa ni sehemu utekelezaji wa sera ya utoaji wa mikopo ya asilimia 10 za mapato ya ndani kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu unaofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ndani ya mwaka huu wa fedha 2021/2022

Makabidhiano hayo yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25, 2022 kwenye Ofisi za Halmashauri zilizopo Kiamili ambapo Mkuu wa Wilaya amezindua na kukabidhi bajaji hizo kwa vijana tukio lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Desderius Haule, Paschal Zacharia ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Wakuu wa Idara na Vitengo, Madiwani ambao ni wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango na watumishi wengine wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Bajaji hizo zinatarajiwa kurahisisha huduma ya usafishaji wa abiria kwa wakazi wa Kata za Kigonsera, Mkako na maeneo jirani hususani kati ya Hospitali ya Wilaya, stendi ya mabasi na Ofisi za Halmashauri zinazojengwa ndani ya eneo hilo la Kiamili.

Salum Said, Afisa Habari Mbinga DC 

Tarehe 25 Aprili, 2022

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 24, 2023
  • TANGAZO LA KAZI MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU April 17, 2023
  • WALIOITWA KWENYE USAILI NAFASI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI April 14, 2023
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MBINGA DC YAWASHUKURU WATAALAM KUTOKA SUA KWA ELIMU YA MNYOO TEGU

    May 29, 2023
  • "WAZAZI TIMIZENI WAJIBU WENU NDANI YA FAMILIA"...DC MANGOSONGO

    May 15, 2023
  • VIONGOZI WA WILAYA YA ILEJE WAFANYA ZIARA YA KIKAZI MBINGA DC

    May 12, 2023
  • RC RUVUMA AZINDUA MADARASA MAALUM YA AWALI SHULE YA MSINGI KIPAPA

    April 27, 2023
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit