• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

HISTORIA

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ni miongoni mwa Halmashauri nane za Mkoa wa Ruvuma.\halmashauri ya \wilaya ya Mbinga inapaikana Wilaya ya Mbinga, Makao yake Makuu yakipatikana eneo la Kiamili, Kigonsera takribani umbali wa kilometa 32 kutoka Mbinga Mjini na Kilometa 67 kutoka Songea Mjini na Makao Makuu ya Mkoa wa Ruvuma. 

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inapakana na Wilaya ya Nyasa kwa upande Kusini na Magharibi, Halmashauri ya Wilaya Mbinga Mjini na Wilaya ya Songea kwa upande wa Mashariki na Wilaya ya Ludewa (Mkoa wa Njombe) kwa upande wa Kaskazini

UKUBWA

Halmashauri Mbinga Vijijini ina eneo la kilometa za mraba 6,319.31, Tarafa 5, Kata 29, Vijiji 118 na Vitongoji 787 na ina Jimbo moja la Uchaguzi. 


Idadi ya Watu.

Wilaya ina wakazi 353,683 kati yao wanaume ni   172,402  sawa na asilimia 48.7 na wanawake ni 181,281 sawa na asilimia   51.3 ya wakazi  wote katika Wilaya,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi   ya 2012.Ongezeko la watu ni 2.9% . Kabila kuu ni Wamatengo ambao   hujishugulisha na kilimo ,pia kuna Wangoni na Wamanda.


Hali ya Hewa

Hali ya hewa ya Mbinga ni joto la wastani wa 25°C. Wakati wa kiangazi hali ya joto inakuwa nyuzi 23oC hadi 27oC na wakati wa baridi kiasi cha joto huwa kuanzia 160C hadi 200C. Mvua hunyesha kwa muda wa miezi sita kuanzia Novemba hadi April. Wastani wa mvua ni mm. 1,200 – mm 1,800 kwa mwaka, hata hivyo katika Milima ya Umatengo wastani wa mvua hufikia mm 2,000 kwa mwaka. Aidha, kipindi cha kiangazi ni kuanzia Mei hadi Oktoba.


Matangazo

  • TANGAZO LA USAILI NAFASI YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI NA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU June 23, 2023
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI ENEO LA KIAMILI October 13, 2021
  • MAELEKEZO KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA SHULE ZA BWENI 2023 December 18, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA MAFUNZO YA UANAGENZI KWA VIJANA March 06, 2023
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MBINGA DC NA MKAKATI WA KUTOKOMEZA UGONJWA WA USUBI

    September 15, 2023
  • "WANAWAKE WA MBINGA JIKITENI KATIKA SHUGHULI ZA KIUCHUMI"MANGOSONGO

    September 14, 2023
  • WILAYA YA MBINGA YAUNDA MAJUKWAA YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI 48

    September 13, 2023
  • ELIMU YA LTIP YATOLEWA KWA WAJUMBE WA BARAZA NA KAMATI YA USIMAMIZI

    September 08, 2023
  • Tazama zote/kote

Video

MANGOSONGO ATETA NA WANANCHI FURSA ZA KIUCHUMI NANE NANE
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit