• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
    • Makaa Ya Mawe
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima
  • MIFUMO

FURSA ZA UWEKEZAJI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBINGA

Posted on: March 13th, 2018

Afisa Kilimo Mr. Kisima, akipata maelezo toka kwa Wataalam wa Mbegu toka kampuni ya SEED.COM namna mbegu yao ilivyo bora

FURSA ZA UWEKEZAJI NDANI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBINGA

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ni moja kati Halmashauri sita za Mkoa wa Ruvuma, Halmashauri hii inapata wastani wa mvua inayofikia wastani wa 12mm.

kwa mwaka. Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inajumla ya wakazi 345407.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ina fursa nyingi za uwekezaji, fursa hizi zinatokana na Hali ya hewa, Uwingi wa watu,Madini na Utalii wa ndani.

MADINI

Halmashauri ya wilaya ya Mbinga imejaliwa kuwa na madini aina nyingi, baadhi ya madini haya ni dhahabu katika kata ya Lukarasi, Makaa ya mawe katika kata ya Ruanda

madini ya vito( gamestone) katika maeneo ya Amani makolo. Halmashauri inawakalibisha wawekezaji ili kuja kuwekeza katika fursa hii ya madini. Leseni za madini zinapatikana katika 

ofisi za madini mkoa zilizopo Songea

Picha ya makaa ya mawe yanayochimbwa katika eneo la Ngaka kata ya Ruanda- Mbinga

VIWANDA

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inazalisha kwa wingi mazao ya chakula na biashara, Wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza katika sekta ya kilimo kwa kujenga viwanda ambavyo vitaongeza thamani ya 

mazao tunayozalisha na kuongeza ajira kwa vijana na watanzania kwa ujumla. Kuna viwanda vya kahawa ambavyo vinakoboa kahawa, lakini pia fursa ipo ya kujenga viwanda vingine vya kuchakata kahawa na mazao ya chakula

Picha ya kahawa toka kampuni ya MCCCO.LTD, Kahawa hii imekuwa bora na wananchi inahamisha wananchi kunywa kahawa hii ili kuongeza soko la ndani

KILIMO

Halmashauri ya Mbinga ipo katika nyanda za juu, ambapo mazao ya biashara kama kahawa na korosho yanastawi, wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza katika sekta ya kilimo.

 Mbinga ina jumla ya hekta 150,000 zinazofaa kwa kilimo cha mazao ya biashara. Kwa mwaka Halmashauri ya Mbinga inazalisha zaidi ya tani elfu 20,000 za mazao ya chakula ziada ya chakula

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Kassim Majaliwa akikagua shamba la muwekezaji AVIVI, muwekezaji huyu amekuwa akiandaa miche na kuigawa burena kuhamasisha uzalishaji zaidi wa kahawa katika Halmashauri ya Mbinga

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI September 17, 2024
  • TANGAZO LA HESABU MBINGA DC July 01, 2024
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA NAFASI YA MKUSANYA USHURU January 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA- DEREVA NAFASI 2 January 25, 2024
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI KASHUSHURA ATOA MSISITIZO MATUMIZI YA NISHATI SAFI SHULENI

    February 15, 2025
  • MAAFISA TUME WATEMBELEA MBINGA DC

    January 08, 2025
  • WAANDISHI WASAIDIZI, WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA ANGALIZO

    January 09, 2025
  • KASHUSHURA AWAPONGEZA WANANCHI UJENZI WA SHULE

    September 10, 2024
  • Tazama zote/kote

Video

UGAWAJI WA MKAA MBADALA
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: ded@mbingadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2021 Mbinga District Council. All rights Reserved. Prepared by ICT - Unit