• Wasilina nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mbinga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • HISTORIA
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Afya
      • Elimu
        • Msingi
        • Sekondari
      • Maji
      • Community Development
      • Menejimenti ya Mipango na Takwimu
      • Mifugo
      • Agriculture,Cooperative and Irrigation
      • Utawala
      • Fedha na Biashara
    • Kitengo
      • Habari, mawasiliano na Mahusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma za afya
    • Huduma za Elimu
  • Councillors/PM
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • UKURASA WA ELIMU SEKONDARI
    • Mbunge
      • Miradi iliyo inayofadhiliwa
      • Ratiba ya Mbunge
      • Ligi ya Mbunge
  • Miradi
    • Miradi
      • Miradi Mipya
      • Miradi iliyokamilika
      • Miradi ambayo haijakamilika
  • Chapisho
    • Miongozo
      • TEHAMA
    • Kanuni
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za maombi
    • TEHAMA
    • Idara
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Tarafa
    • Mbuji
      • KARIBUBU KATA YA MBUJI
      • Litembo
      • Kitura
      • Nyoni
      • Mpapa
      • Kata ya Kilangajuu
      • Maguu
      • Langiro
    • Kigonsera
      • Kigonsera
      • Kihangimahuka
      • Kitumbalomo
      • Matiri
    • Hagati
    • Mkumbi
    • Namswea
    • Mkumbi
      • Mkumbi
      • Kipololo
      • Ukata
      • Ngima

Mfumo wa kata funua " kuwamaliza wafanyabiashara ya haramu ya kahawa"

05 November 2018

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christina Mndeme amefanya ziara ya kikazi ya siku 2 ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga leo  tarehe 5/Nov/2018. Ziara hii ya Mkuu wa  Mkuu wa mkoa inahusisha kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero mbali mbali za wananchi.

Aidha Mh. Mkuu wa Mkoa Bi. Christina Mndeme amesisitiza wananchi kufanya kazi kwa bidii na kuunga jitihada za serikali ya awamu ya tano inayohakikisha ilani ya chama inatekelezwa kwa  kuotoa fedha na kutekeleza miradi mbali mbali " serikali inatoa fedha za elimu bure, kwa mara ya kwanza umeme wa gridi ya Taifa unawaka ndani ya Ruvuma, huduma za afya zinaboreshwa kwani zaidi ya bilioni 5 zimetolewa kuimarisha miradi y afya"alisema Mh. Mkuu wa Mkoa.

Pia aliwaasa wananchi wanao fanya mambo ambayo yanalengo la kurudisha maendeleo nyuma, kasema tayari kuna watu  10 wanaofanya biashara ya magoma wamekamatwa na wamepelekwa mahakamani. '' Wale wote watakaouza kahawa kwa  kwa mfumo haramu, tutawakamata kwa mtindo wa kata funua, yaani atapigwa gwara kisha ataruka juu atafikia pua kisha atawekwa rokapu na kupelekwa mahakamani" alisisitiza mkuu wa Mkoa.

Aidha amewahakikishia wakulima wa mazao ya mbali mbali kuwa pembejeo za kilimo zitakuwepo za kutosha kwakuwa tayari wazabuni wameshapatikana na tayari wameanza kusambaza pembejeo za kilimo. 

Endelea kupitia tovuti hii uone taarifa zaidi

Matangazo

  • Tangazo la kazi " Nafasi za kazi za maafisa wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa September 09, 2019
  • Mfumo wa kata funua " kuwamaliza wafanyabiashara ya haramu ya kahawa" November 05, 2018
  • MUONGOZO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA NGAZI YA VIJIJI, VITONGOJI NA MITAA September 10, 2019
  • TANGAZO LA UCHAGUZI 2019 September 10, 2019
  • Tazama zote/kote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbinga ahamia na timu yake na Kuanza kazi katika Eneo lake la Utawala

    October 28, 2019
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamia kwa muda katika eneo la Kigonsera kabla la tarehe 30/10/2019

    October 22, 2019
  • Mbinga yaweka historia kwa kufanya mnada wa kahawa kwa mara ya kwanza

    September 12, 2019
  • Ziara ya kamati ya fedha, mipango na uchumi yataka miradi kukamilika kwa wakati

    June 01, 2019
  • Tazama zote/kote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh. Christine Mndeme aagiza Halmashauri ya Wilaya kuhamiamia Kiamili kabla ya tarehe 30/10/2019
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Iringa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Utumishi
  • Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Polisi Tanzania
  • Mamraka ya mapato Tanzania (TRA)

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ili kutufikia

Wasilina nasi

    MBINGA DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la posta: P.O. BOX 194 MBINGA-RUVUMA

    Namba za simu: 2552640005

    SImu ya mkononi: PS 0754533018

    parua pepe: mbingadc@mbinga.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Mlalamikaji
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 Mbinga District Council. All rights reserved. Prepared by IT - Unit